Baada ya kuona kwamba mimi na parokia yangu tunavyoweza au tulivyo na wajibu wa kueneza imani katoliki ili kueneza upendo na utukufu wa Mungu, blogu hii inakuja ikiwa na lengo la kuonesha matukio mbalimbali yanayofanywa na parokia yangu ya Maria Mtakatifu iliyoko Kimara katika jimno kuu la Dar es Salaam katika uenezaji wa injili.
Tafadhali safiri na mimi katika safari hii ya kiroho, safari itakayokuinjilisha na kuikuza imani yako katoliki. Nawaalika wote wale wasiyoiaju, wale wasiotaka kuijua, wale wasioaiamini na wakatoliki wenzangu ili tupate kuijua imani katoliki inayoongozwa na kanisa lilioanzishwa na Kristu mwenyewe.
Karibuni,
Vicenza-marie
This blog is about the life of a Benedictine nun of St Agnes Chipole-Songea Tanzania who is on her way to sainthood.The blog supports the cause for her beatification by defusing the information so that the faithful can ask for her intercession and offer their moral and financial support to the Archdiocese of Songea to effect the process
SR BERNADETA FUND
Kindly assist the Archidiocese of Songea by contributing to the beatification process of Sr. Bernadeta Mbawala through their CRDB account no. 0152085128521, account name:SR. BERNADETA FUND
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
Dear Rafiki,
Asante kwa comments zako
Vicenza-Marie!