SR BERNADETA FUND

Kindly assist the Archidiocese of Songea by contributing to the beatification process of Sr. Bernadeta Mbawala through their CRDB account no. 0152085128521, account name:SR. BERNADETA FUND

Sunday, November 13, 2011

Mimi, Parokia yangu na Imani yangu katoliki

Baada ya kuona kwamba mimi na parokia yangu tunavyoweza au tulivyo na wajibu wa kueneza imani katoliki ili kueneza upendo na utukufu wa Mungu, blogu hii inakuja ikiwa na lengo la kuonesha matukio mbalimbali yanayofanywa na parokia yangu ya Maria Mtakatifu iliyoko Kimara katika jimno kuu la Dar es Salaam katika uenezaji wa injili.
Tafadhali safiri na mimi katika safari hii ya kiroho, safari itakayokuinjilisha na kuikuza imani yako katoliki. Nawaalika wote wale wasiyoiaju, wale wasiotaka kuijua, wale wasioaiamini na wakatoliki wenzangu ili tupate kuijua imani katoliki inayoongozwa na kanisa lilioanzishwa na Kristu mwenyewe.

Karibuni,

Vicenza-marie

No comments:

Post a Comment

Dear Rafiki,
Asante kwa comments zako


Vicenza-Marie!