SR BERNADETA FUND

Kindly assist the Archidiocese of Songea by contributing to the beatification process of Sr. Bernadeta Mbawala through their CRDB account no. 0152085128521, account name:SR. BERNADETA FUND

Monday, November 21, 2011

PROCESSION

Katika jumapili ya mwisho wa mwezi wa kumi, Parokia ya Maria Mtakatifu ilifanya maandamano katika vitongoji vya kimara ili  kusherehekea sikukuu ya bikira maria msimamizi wa parokia yetu na vilevile kufunga mwezi wa rozari. Ilikuwa ni siku kubwa na nzuri sana na kwa miaka mingi (sina uhakika kama ilishafanyika nyuma) Parokia ya Kimara ndiyo iliyokuwa ya kwanza kufanya maandamano hayo ya aina yake.

Baba Paroko alianza kwa kuibariki sanamu ya bikira Maria kabla ya WAWATA hawajaibeba kwenda nayo nje tayari kwa maandamano.
 (Baba Paroko akijiandaaa na kuibariki sanamu ya Bikira Maria)

Nami nilimfwata mwenyekiti wa Liturujia nikiomba ruhusa ya kufotoa, akakubali.
 Paroko anabariki sanamu ya Mama Maria


Baada ya baraka, ndipo WAWATAwalipoibeba sanamu kwa heshima kuipeleka nje
WAWATA.


Kisha, Mama Bikira Maria alipandishwa katika gari maalumu ambayo pia ilichukua watoto wa utatu mtakatifu, WAWATA na baadhi ya wanakwaya.


Waumini
Maandamano

No comments:

Post a Comment

Dear Rafiki,
Asante kwa comments zako


Vicenza-Marie!