Marafiki wapendwa,
Kuna ombi maalumu nimepewa na rafiki mmoja naomba tumuombee katika shida yake hiyo. Mmkumbuke katika sala na hasa tukiisali sala hii ya kuelekea kumtakatifuza Sr. Bernadetha Mbawala katika madhabahu ya bwana.
Katika kristu,
Vicenza-marie!
This blog is about the life of a Benedictine nun of St Agnes Chipole-Songea Tanzania who is on her way to sainthood.The blog supports the cause for her beatification by defusing the information so that the faithful can ask for her intercession and offer their moral and financial support to the Archdiocese of Songea to effect the process
SR BERNADETA FUND
Kindly assist the Archidiocese of Songea by contributing to the beatification process of Sr. Bernadeta Mbawala through their CRDB account no. 0152085128521, account name:SR. BERNADETA FUND
Sunday, March 25, 2012
Tuesday, March 6, 2012
Sr Bernadetha Mbawala: Updates
Wapendwa rafiki,
Kutokana na mchakato unaoendelea kuhusiana na swala nzima la kumtakatifuza Sr Benadetha Mbawala, shughuli kuu ya blogui hii itakuwa ni kuhusu Sr Mbawala tu. Naiweka na sala yake hapa jamani mwenye ombi lolote (Najua hakuna ambaye hana) basi aisali sala hii na shuhuda zenu mziweke humu ili tuweze kuzifikisha jimboni Songea na ikithibitishwa-kulintgana na sheria za kanisa basi mtyumishi huyu aweze kuwekwa madhabahuni mwa bwana. Karibuni mno.
Ifuatayo ni sala iliyotolewa na jimbo kuu Songea.
SALA KWA MTUMISHI WA MUNGU SR. BENADETHA MBAWALA OSB
Ee baba wa mbinguni, kwa njia ya mtumishi wako Sista Benadetha Mbawala, umelipatia kanisa lako,katika ulimwengu huu uliojaa mateso na magonjwa, ushuhuda mkubwa, juu ya nguvu za ukombozi zipatikanazo kwa msalaba wako mtakatifu. Kwa maombezi ya mtumishi wako, utujalie kwwa wema wako usio na kipimo, tupate yale tunayoomba (TAJA OMBI LAKO).
Tunaomba hayo kwa njia ya Yesu Kristu Bwana wetu. Amina.
Kutokana na mchakato unaoendelea kuhusiana na swala nzima la kumtakatifuza Sr Benadetha Mbawala, shughuli kuu ya blogui hii itakuwa ni kuhusu Sr Mbawala tu. Naiweka na sala yake hapa jamani mwenye ombi lolote (Najua hakuna ambaye hana) basi aisali sala hii na shuhuda zenu mziweke humu ili tuweze kuzifikisha jimboni Songea na ikithibitishwa-kulintgana na sheria za kanisa basi mtyumishi huyu aweze kuwekwa madhabahuni mwa bwana. Karibuni mno.
Ifuatayo ni sala iliyotolewa na jimbo kuu Songea.
SALA KWA MTUMISHI WA MUNGU SR. BENADETHA MBAWALA OSB
Ee baba wa mbinguni, kwa njia ya mtumishi wako Sista Benadetha Mbawala, umelipatia kanisa lako,katika ulimwengu huu uliojaa mateso na magonjwa, ushuhuda mkubwa, juu ya nguvu za ukombozi zipatikanazo kwa msalaba wako mtakatifu. Kwa maombezi ya mtumishi wako, utujalie kwwa wema wako usio na kipimo, tupate yale tunayoomba (TAJA OMBI LAKO).
Tunaomba hayo kwa njia ya Yesu Kristu Bwana wetu. Amina.
Subscribe to:
Posts (Atom)