Dear Friends, kwakuwa mchakato wa Mtumishi wa Mungu Bernadetha Mbawala umehamia katika sura mpya ya Kimataifa, wote tunabaki katika sala kuendelea kuuombea mchakato huu hadi hapo tutakaposikia lolote kuhusiana na maendeleo ya mchakato huu.
Nawahimiza mumuombe mtumishi huyu katika mambo mbalimbali na hasa amani ya Tanzania, Afrika ya Mashariki, Syria na dunia nzima kwa ujumla kwani akiwa bad hai, Bernadetha aliiombea sana Urusi ya kipindi kile cha Ukomunisti.
Hawa ni wakristu waliouawa kwa mabomu kule Arusha wakati wa ufunguzi wa kanisa. Tuwaombee na wao pia watatuombea.
Tuzidi kuomba amani.
Tunawatakia amani wote.
This blog is about the life of a Benedictine nun of St Agnes Chipole-Songea Tanzania who is on her way to sainthood.The blog supports the cause for her beatification by defusing the information so that the faithful can ask for her intercession and offer their moral and financial support to the Archdiocese of Songea to effect the process
SR BERNADETA FUND
Kindly assist the Archidiocese of Songea by contributing to the beatification process of Sr. Bernadeta Mbawala through their CRDB account no. 0152085128521, account name:SR. BERNADETA FUND
No comments:
Post a Comment
Dear Rafiki,
Asante kwa comments zako
Vicenza-Marie!