SR BERNADETA FUND

Kindly assist the Archidiocese of Songea by contributing to the beatification process of Sr. Bernadeta Mbawala through their CRDB account no. 0152085128521, account name:SR. BERNADETA FUND

Tuesday, March 6, 2012

Sr Bernadetha Mbawala: Updates

Wapendwa rafiki,
Kutokana na mchakato unaoendelea kuhusiana na swala nzima la kumtakatifuza Sr Benadetha Mbawala, shughuli kuu ya blogui hii itakuwa ni kuhusu Sr Mbawala tu. Naiweka na sala yake hapa jamani mwenye ombi lolote (Najua hakuna ambaye hana) basi aisali sala hii na shuhuda zenu mziweke humu ili tuweze kuzifikisha jimboni Songea na ikithibitishwa-kulintgana na sheria za kanisa basi mtyumishi huyu aweze kuwekwa madhabahuni mwa bwana. Karibuni mno.

Ifuatayo ni sala iliyotolewa na jimbo kuu Songea.
SALA KWA MTUMISHI WA MUNGU SR. BENADETHA MBAWALA OSB

Ee baba wa mbinguni, kwa njia ya mtumishi wako Sista Benadetha Mbawala, umelipatia kanisa lako,katika ulimwengu huu uliojaa mateso na magonjwa, ushuhuda mkubwa, juu ya nguvu za ukombozi zipatikanazo kwa msalaba wako mtakatifu. Kwa maombezi ya mtumishi wako, utujalie kwwa wema wako usio na kipimo, tupate yale tunayoomba (TAJA OMBI LAKO).

Tunaomba hayo kwa njia ya Yesu Kristu Bwana wetu. Amina.

4 comments:

  1. AMINA.....Sr.Bernedetha daima utuombee kwa Mungu ili nna sisi tuweze kufikia makao ya Mungu...utusaidie huku duniani tunapoaangaika

    ReplyDelete
  2. Sr Bernadeta Mbawala.TUMTANGAZE< TUMUOMBE KWA SIFA NA UTUKUFU WA MUNGU

    ReplyDelete
  3. tembelea Link hii pia bonyeza LIKE Asante http://www.facebook.com/BERNADETAMBAWALA

    ReplyDelete
    Replies
    1. Pia unaweza kutufwata kwenye tweter yetu SrMbawala au bofya follow kwenye kialama cha tweeter hapa kwenye blogu





      Vicenza- Marie

      Delete

Dear Rafiki,
Asante kwa comments zako


Vicenza-Marie!