Marafiki wapendwa,
Kuna ombi maalumu nimepewa na rafiki mmoja naomba tumuombee katika shida yake hiyo. Mmkumbuke katika sala na hasa tukiisali sala hii ya kuelekea kumtakatifuza Sr. Bernadetha Mbawala katika madhabahu ya bwana.
Katika kristu,
Vicenza-marie!
This blog is about the life of a Benedictine nun of St Agnes Chipole-Songea Tanzania who is on her way to sainthood.The blog supports the cause for her beatification by defusing the information so that the faithful can ask for her intercession and offer their moral and financial support to the Archdiocese of Songea to effect the process
SR BERNADETA FUND
Kindly assist the Archidiocese of Songea by contributing to the beatification process of Sr. Bernadeta Mbawala through their CRDB account no. 0152085128521, account name:SR. BERNADETA FUND
Nilikuwa nasafari ndefu lakini Siku moja kabla ya safari nilipata ugonjwa ambao ungenifanya nisafiri kwa shida basi nilimkimbilia Sr Bernadeta ugonjwa ukakata. Namshukuru Mungu na asante Sr Bernadeta.
ReplyDeleteMarianna
Dear Marianna.
ReplyDeleteTunamshukuru Mungu sana kwa kujibiwa ombi lako katika ugumu ulioupata. Nawahimiza kuhifadhi kumbukumbuku zenu na kuwa mnatuma shuhuda zenu Songea katika shirika la Masista Chipole au katika kamati maalumu iliyoandaliwa. Nitwaweka humu anuwani sahihi za kutumia shuhuda zenu.
Mungu atukuzwe
Vicenza-Marie!
Nilikua kwenye matatizo makubwa Sana mtakatifu benardeta ameniombea Sana had nashindwa kueleza
ReplyDelete