SR BERNADETA FUND

Kindly assist the Archidiocese of Songea by contributing to the beatification process of Sr. Bernadeta Mbawala through their CRDB account no. 0152085128521, account name:SR. BERNADETA FUND

Tuesday, June 26, 2012

SALA KUPITIA MAOMBI YA MTUMISHI WA MUNGU Sr. Bernadeta Mbawala


Mchakato wa safari ya Sr. Bernadeta OSB kuelekea uenyeheri bado unaendelea.Natumaini marafiki wenzangu mnamwomba Mungu kupitia maombezi ya sista huyu ili Mungu aweze kutukuzwa kwa kumnyanyua madhabahuni. Yawezekana nduguyo au rafikiyo au jiraniyo au mtu  mwingine anashida kubwa basi tumkimbilie Mungu kupitia Sr. Bernadeta. Wengi wetu wamejibiwa basi tumtukuze Mungu kwa kushirikishana baraka hizo. 

Kama umepewa msaada wowote kupitia maombezi ya Sr. Bernadeta Mbawala, tafadhali toa taarifa kwa Mahakama ya Mchakato, S.L.P 152 Songea, Tanzania Simu 0752253589 au kwa barua pepe mgayajose@yahoo.com 

No comments:

Post a Comment

Dear Rafiki,
Asante kwa comments zako


Vicenza-Marie!