Valentine alikuwa ni Padre mtakatifu kule Roma ambae yeye, Mt Marius na familia yake waliwasaidia wafia dini wakati wa utawala ule dhalimu wa Cledius wa pili.Alikamatwa na kupelekwa Roma ambae alimlazimisha kuikana imani yake. Walakini alipoona Valentine haikani, basi aliamuru apigwe kwa magongona baadae achinjwe.Hivyo basi alichinjwa tarehe 14 Februari, 270. Inasemekana kwamba Papa Julius wa kwanza alijenga kanisa Ponte Mole kwa heshima ya Valentini kwa muda mrefu kuna gati inaitwa Porta del Popolo au zamani Porta Valetin.
Sehemu kubwa ya masalia yake yapo katikakanisa la Mt. Praxeda
Inaaminika kwamba wakati ule wa udhalimu wa ukristu, Mt. Valentino aliwafungisha ndoa za siri watu wengi na hivyo kuhusianishwa sana na swala zima la upendo,
Nawatakieni sikukuu njema ya wapendanao.
Nami nawapenda sana
Vicenza-Marie!
This blog is about the life of a Benedictine nun of St Agnes Chipole-Songea Tanzania who is on her way to sainthood.The blog supports the cause for her beatification by defusing the information so that the faithful can ask for her intercession and offer their moral and financial support to the Archdiocese of Songea to effect the process
SR BERNADETA FUND
Kindly assist the Archidiocese of Songea by contributing to the beatification process of Sr. Bernadeta Mbawala through their CRDB account no. 0152085128521, account name:SR. BERNADETA FUND
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
Dear Rafiki,
Asante kwa comments zako
Vicenza-Marie!